Malaika Lyrics & Chords By Edward Gerhard
Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Ningekuoa mali we, ningekuoa dada Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Pesa zasumbua roho yangu Pesa zasumbua roho yangu Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Kidege, hukuwaza kidege Kidege, hukuwaza kidege Ningekuoa mali we, ningekuoa dada Nashindwa na mali sina We Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina We Ningekuoa Malaika Malaika, nakupenda Malaika Malaika, nakupenda Malaika Ningekuoa mali we, ngekuoa dada Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika
Angélique Kidjo - Malaika chords lyrics
Boney M. - Malaika chords lyrics
Saragossa Band - Malaika chords lyrics