Milele Lyrics & Chords By Mercy Masika
Wako mwana, ukamtuma, duniani kisa na maana, nipate uzima, jamani Wako mwana, ukamtuma, duniani kisa na maana, nipate uzima, jamani Ishara kwamba unanipenda zaidi Hivo nishaelewa, sifa nitakupa zaidi Ishara kwamba unanipenda zaidi Hivo nishaelewa, sifa nitakupa zaidi Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Umekua mwema kwangu Umenitoa gizani, nilipokuwa nimeshikwa mateka Ukanipa tumaini, kwako nikajificha Sasa nitakupa nini, iwe sawa na yale umetenda Hakuna ila moyoni, sifa nitakuimbia Ilikugharimu, msalabani unifie Hivo inanibidi, sifa nikuimbie Wema wako niseme, ili na wengine wakujue Wote waungane nami, na wazee ishirini na nne Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Umekua mwema kwangu, wacha niringe Umekua mwema kwangu, ooh Yahweh Ooh Kwangu, ooh umenitendea Kwangu Wacha niimbe. Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Na siwezi jizuia, kusema wako wema Na sio kama najigamba, umenitenda mema Siwezi jizuia...